03 July 2015

BREAKING NEWS : AMUUA MWENZIE KWA KISU WAKIGOMBEA MWANAMKE



Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Chacha Mwita (24) amekufa baada ya kuchomwa kisu na mwenzake wakigombea mwanamke.
Imeelezwa kuwa siku ya tukio marehemu akiwa

kwenye baa moja mjini Sirari, nyakati za jioni kulitokea ugomvi kati yake na mtu mwingine ambaye hakufahamika jina wakigombania mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Dina. 
  

BONYEZA HAPA KUONA PICHA ZAIDI TUKIO HILO

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname