17 July 2015

ANGALIA VIDEO HII: DIAMOND NA DAVIDO HAKUNA BIFU WAPO KWENYE BONGE LA PROJECT SOUTH AFRICA



Kumekuwa na maneno na minong'ono mingi kuhusu bifu kati ya diamond na davido, bifu hilo limekuwa likichochewa na mitandao ya kijamii na team za wapinzani wa diamond lakini wiki hii diamond, davodo na wasanii wengine mastaa kama yemi alade wamekuwa pamoja afrika kusini kwa project maalumu.





No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname