Rockstar4000 wajibu tuhuma za kuuza wimbo wa Diamond Platnumz Mtandaoni
Kampuni kubwa ya usimamizi wa wasanii na kazi zao ya Rockstar4000
imeomba ipewe muda wa kuchunguza na kufuatilia tuhuma walizopewa za
kuuza wimbo wa Diamond Platnumz ‘Number One’ bila kuwa na mkataba naye
au meneja wake.
Malamiko haya yalitolewa na Road Manager wa Diamond Platnumz ‘Salaam’.
Jibu hilo limetolewa na afisa mahusiani wa Rockstar Lucy Ngongoteke, Dada Seven Mosha hakuwa tayari kuzungumzia issue hii.
No comments:
Post a Comment