Tujiangalie sana unapopata na hasira kwa ajili ya mpenzi wako na kuchukua maamuzi magumu sana katika jambo ambalo limeshatendeka na hata ukifanya nini
halitaweza kurudi, cha msingi ni kuangalia wapi mwenza wako kakosea na
kama imeshindikana ni bora uachane naye kwa kheri kuliko kuaribiana
maisha, ingawa maumivu yapo na yanauma ila tujali utu kuliko kufanya
unyama kama ulivyomkuta mwanadada Paulina wa
pande za Nigeria aka Naija, ambaye alimwagiwa
acid na mpenzi wake Mr. Ogba kutokana na wivu wa mapenzi, sasa jamaa
alibahatika kukamatwa na kufungwa jela miaka kumi tangu mwaka
2010...Swali ni Je, miaka kumi na kumuaribu mwenzio namna hii vinaendana?!
No comments:
Post a Comment