![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjyT2aIp_M1nZCU5s2WANJYlscgpT1qNN_f66EQv5A2kb_6-fycWYugUWRNCXYqZCE2UMd2oufw0APUO8LlqvgwfqaRfuc1nrUReA_YNmgH1xLyj2qqb2puOTu1-8zM1EJXoCrwTumxP7g/s640/MMGL0062.jpg)
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akimjulia hali Mjumbe wa Halmshauri Kuu ya CCM, Mathias Manga, aliyejeruhiwa kwa risasi jana usiku na watu wasiofahamika, wakati walipokutana kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa KIA, Mkoani Kilimanjaro Juni 24, 2015.
Sehemu ya Wakereketwa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wanaoishi maeneo ya jirani na Uwanja wa Ndege wa KIA wakimshangilia Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa wakati walipomsimamisha iliKWA MUENDELEZO WA HABARI HII NA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
No comments:
Post a Comment