10 June 2015

AUNT EZEKIEL ATOBOA KUHUSU MZAZI MWENZIE


Staa wa Bongo Movies, aunt Ezekiel amaeamua kuatoboa kuhusu baba mtoto wake Moses Iyobo kwa kudai kuwa ndiye baba halisi wa mwanae na anampenda kwa dhati todauti na baadhi ya watu wanavyomtafsiri kuwa yeye ni mpenda hela!

Aunt aliyaongea hayo katika mahojianao maalumu na kusema kuwa kama kuna watu wanaomtafsiri kama yeye ni mpenda hela na hawezi kujkaa na Iyobo kiatendo ambacho sio cha kweli katika moyo wake kwani anachohitaji kutoka kwa Iyobo ni mapenzi tu. 


BONYEZA HAPA INAENDELEA===>>

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname