14 May 2015

NAY WA MITEGO AANIKA MALI ZAKE NA WAPENZI WAKE NA WATOTO WAKE..


Nay wa Mitego akipozi na Mtangazaji wa Kipindi cha Sporah.
STAA wa Bongo Fleva nchini, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amefunguka kuhusu mali zake anazomiliki.
Nay ameyafunguka hayo wakati akihojiwa katika Kipindi cha Sporahkinachoruka kupitia Runinga ya Clouds TV kila Jumanne usiku.

Staa huyo amesema anamiliki nyumba tatu, magari matatu ambayo ni Toyota Prado, Nissani Murano na Toyota Passo.
Mbali ya vitu hivyo pamoja na muziki, pia staa huyo anavitega uchumi ambavyo vinamuingizia kipato ikiwemo bajaj, saluni na vinginevyo.


No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname