21 April 2015

VIJANA WANNE WENYE SILAHA WANAODHANIWA KUWA NI MAJAMBAZI WAMEKAMATWA


Watuhumiwa wakiwa tayari wamepigwa pingu chini ya ulinzi 
Watu wanne (4) wakiwa na silaha wanaosadikika kuwa ni majambazi wamekamatwa kwenye mataa ya Ohio na Ally Hassan Mwinyi road jijini Dar es Salaam Mchana huu. Taarifa zaidi zitawajia hapo baadaye.
Watuhumiwa wakiwa tayari wamepigwa pingu chini ya ulinzi 


Tazama video, Fungua hapa chini 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname