Na huyu ndio Mtanzania anayekwenda na Akon Marekani ! ni baada ya ushindi wa Airtel TRACE Music STARS !!
Nalimi
Mayunga ni Mtanzania aliyeonyesha kipaji chake kwa hali ya juu kwenye
shindano la Airtel Trace Music Stars ambalo lilifanyika juzi Nairobi
Kenya na kushindanisha nchi kumi na tatu kutoka Afrika.
Anaondoka na Akon kuelekea Marekani kwa ajili ya kurekodi single yake
kama mkataba unavyosema baada ya kutangazwa mshindi ambapo akiwa kwa
Akon, pamoja na kurekodi pia atapata nafasi ya kupewa mafunzo awe mkali
zaidi.
No comments:
Post a Comment