SIKU
chache baada ya sehemu ya ukuta wa uzio wa mjengo wa msanii nyota wa
Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kuanguka, mtaalam wa majengo
aliyejitambulisha kwa jina la Injinia Stuart Daniel ameupiga zengwe
akidai licha ya kuonekana kuwa na nakshinakshi nyingi, lakini ni dhaifu
na unaweza kudondoka.
“Kama jengo lote lilijengwa kwa staili hii, basi ni suala la kusubiri kwa muda tu kabla hatujasikia habari za kuanguka kwake na kama hatakuwa makini, linaweza kumletea madhara makubwa. “Kitu ambacho ningeweza kumshauri ni kuwaita wakaguzi wa majengo waangalie mafundi wake walivyojenga ili kuepuka hasara anayoweza kuipata,” alisema mtaalam huyo.” SOMA ZAIDI>>
“Kama jengo lote lilijengwa kwa staili hii, basi ni suala la kusubiri kwa muda tu kabla hatujasikia habari za kuanguka kwake na kama hatakuwa makini, linaweza kumletea madhara makubwa. “Kitu ambacho ningeweza kumshauri ni kuwaita wakaguzi wa majengo waangalie mafundi wake walivyojenga ili kuepuka hasara anayoweza kuipata,” alisema mtaalam huyo.” SOMA ZAIDI>>
No comments:
Post a Comment