Muigizaji
maarafu wa filamu nchini Tanzania,Wema Sepetu alizomewa kwenye mtandao
wa kijamii wa Instagram baada ya kuweka picha ya mlimbwende Hamisa
Obetto akiwa mjamzito na kuandika maneno ya mshangao
”Jamani my mdogo umezaa.!wewe ni mwanamke sasa”.
Ujumbe
huo ulizusha tafrani kwa baadhi ya watu na kumjibu Wema kwa maneno
makali
yenye kebehi ya kwa nini yeye hazai anakaa kushabikia watoto wa
wenzie tu.
Gumzo hilo lilifwata mkondo tofauti pale ambapo mchumba
wake wa zamani mwanamuziki Diamond Platinum akitarajia kupata mtoto na
bi.Zari kutoka Uganda ambaye ni mpinzani wake mkubwa Wema.
No comments:
Post a Comment