22 April 2015

GARI YA DIAMOND YAGONGWA NA DALADALA YA MBAGALA KWENDA KAWE

2006_lexus_rx-330_4dr-suv_base_fq_oem_5_500
Imemfikia nyingine leo Soudy Brown, shuhuda wake mmoja amesema alishuhudia mzozo kati ya Diamond Platnumz na dereva wa daladala moja ya abiria ambayo inafanya safari zake kati ya Kawe na Mbagala.. ishu ni kwamba daladala hiyo ilikwangua gari ya Diamond.
Soudy Brown alimtafuta Diamond lakini simu yake haikupokelewa.. shuhuda huyo amesema mzozo haukufikia muafaka, daladala hiyo iliondoka eneo hilo kama imetoroka tukio hivi

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname