22 April 2015

BREAKING NEWS . BASI LA GONGANA NA LORI SHINYANGA LAUA WENGI

Hivi punde kumetokea ajali basi la Unique namba za usajili T148 bkk likitokea jijini Mwanza kwenda Tabora kugongana na liri la kampuni la Cocacola katika kijiji cha Ibingo kata ya Samuye Shinyanga watu 5 wamefariki na majeruhi wamekimbizwa katika hospitali ya mkoa wa Shinyanga Taarifa zaidi na picha na waleteeni hivi punde.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname