Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa mara baada ya kuwasili Monduli tayari kwa ziara ya siku moja jimboni humo.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimiana na Mbunge wa Jimbo laMonduli,Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa mara baada ya kuwasili Monduli tayari kwa ziara ya siku moja jimboni humo.
No comments:
Post a Comment