hayahaya
ama kweli usichague kazi, ilimradi kazi ikupe uhakika wa kukupa kula
wew na familia yako, for the first time leo mwanasiasa jerislaa
amefunguka wazi yakuwa akishindwa basi katika
uchaguzi
mwaka huu amesema atahamia kwenye utangazaji au uchekeshaji haya
nanukuu maneno ya jerislaaa Siasa ikikataa nitabanana na kina mcpilipili
kwenye comedy..... Kama hawa wenyewe hawana mbavu basi kipaji kipo....
Waiteni waje wajione wanavyocheka..
No comments:
Post a Comment