18 February 2015

Je wajua kila mchezaji wa Ghana kapewa gari hili lenye thamani ya milioni 140 pamoja na huu mkwanja??? Soma hapa

Hii ni mpya kutoka nchini Ghana, zikiwa zimepita siku chache toka timu ya mpira wa miguu ya Ghana kushika nafasi ya pili katika mashindano ya AFCON 2015 Rais wao amewakabidhi zawadi alizowaahidi wachezaji wa timu hiyo.

Rais huyo aliwaahidi gari mpya aina ya Jeep Cherokee ambayo inauzwa $76,000 za kimarekani ambazo kwa pesa za kibongo ni kama milioni 139 huku pia akiwazawadia kiasi cha fedha $25,000 sana na milioni 45892500 za kibongo.


Raisi wa nchi hiyo amewaomba wawakilishi wa baadhi ya wachezaji wa timu hiyo ambao wanachezea timu za ulaya wakachukue magari hayo kwa niaba ya wachezaji hao.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname