23 February 2015

CHEMBER SQURD NOORAH & DACK MASTER WAKIUNGANA NA WASANII WA DODOMA WAMLILIA MEZ B


Kundi la Chember squad ambalo lilikuwa likiunganishwa na  Ngwear,Mez B ,Noorah pamoja na Dack Master ..Ambapo  kwa sasa wamepoteza jembe lao lingine Mez B baada ya kuondokewa na Ngwear...
 Dark Master pamoja na Noour wakutana Dodoma na kufanya nyimbo ya pamoja wakishirikiana na wasanii wa Dodoma kwa kuwaenzi wanachember wenzao waliotangulia mbele ya haki.... kupiti blog hii pamoja na Planet Bongo utapata kuwa wa kwanza kupata nyimbo hiyo ilitengenezwa na Producer kimambo  katika studio iliyopo bara bara ya 6 mjini Dodoma.



No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname