Bobby Brown akipozi na binti yake Bobbi Kristina.
Marehemu Whitney Houston akiwa katika pozi na mwanaye Bobbi Kristina mwaka 2007.
Bobby Brown amekataa katakata mashine hiyo kuondolewa maana anaamini katika miujiza ya Mungu kumponyesha mawanaye huyo mwenye miaka 21.
Hisia za Bobby zimetofautiana na madaktari walioshauri mashine hizo ziondolewe maana Bobbi hapati nafuu tangu alipohamishiwa kwenye hospitali ya Chuo Kikuu cha Emory majuzi Jumanne.
Bobbi Kristina alikutwa akiwa amepoteza fahamu Jumamosi iliyopita ya Januari 31, mwaka huu baada ya kukutwa kwenye jacuzzi akiwa hajitambui na mpaka sasa bado hajapata fahamu.
No comments:
Post a Comment