Meneja wa waziara wa Diamond Platnum, anayefahamika kama Salam amezua utata kwenye mitandao tofauti kwa twi zake kali kuhusu uganga kwenye bongo fleva na kuruka ukuta.
Mashabiki waliotoa mitazamo yao kuhusu twit zake imeonyesha kuwa zinamlenga Ali Kiba na kilichotokea back stage sehemu waliokuwa wamekaa wasanii.
Pia twit nyingine ilizungumzia mashabiki kumsaliti msanii moja baada ya Diamond kurusha pesa.
No comments:
Post a Comment