15 November 2014

MGAWO MALI ZA JIDE, GARDNER UTATA MTUPU!

Mbongo Fleva, Judith Daines Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee au Jide. Kwa mujibu wa chanzo cha ndani, Gardner ameshapeleka hati ya kesi kwa mwanasheria wake kwa kusudio la kumpandisha kizimbani mtalaka wake huyo ili mgawo wa mali ujulikane na kila mmoja apate haki yake. 

HALI tete! Bado vuguvugu la madai ya kuvunjika kwa ndoa ya mtangazaji mahiri Bongo, Gardner Gabriel Fikirini Habash ‘Kapteni’ na Mbongo Fleva,
Judith Daines Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee au Jide’, sasa lingine limeibuka ambapo mali za wawili hao zinatajwa kuzua utata, Risasi Jumamosi linachambua. 
Kilichozingatiwa katika mgawo huo ni uhalali wa ndoa yao iliyofungwa Mei 14, 2005 ambapo mali zote zilizopatikana ndani ya ndoa ni za wote kwa mujibu wa sheria ya Ndoa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Nyumba anayomiliki Judith Daines Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee na aliyekuwa mumewe Gardner Gabriel Fikirini Habash ‘Kapteni. SOMA ZAIDI>>>

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname