The Choice

12 November 2014

MENINA:SIJATOA MIMBA

 .Mwanamuziki Hot Sexy hapa Bongo, Meninah Atick.
Mwanamuziki Hot Sexy hapa Bongo, Meninah Atick ameifungukia ishu ya kuchoropoa mimba ya msanii Nasibu Abdul ‘Diamond’ na kusema hajawahi kubeba mimba ya staa huyo na wala katika maisha yake hajawahi kufanya kitendo hicho
“Jamani mimi ni mdogo, kwanza kwa nini watu wanapenda kunibebesha vitu vikubwa, mimi sijawahi kubeba wala kuchoropoa mimba katika maisha yangu,” alisema msichana huyo.
 
Meninah Atick akipozi.

Meninah alienda mbele zaidi na kusema maneno hayo yanaweza kuwapandisha hasira wapenzi wa Diamond na kumjengea nao chuki, wakati ukweli ni kwamba hajawahi kutoka na msanii huyo mwenye historia ya kutoka na wasichana wengi.
Posted by Jason at 09:27
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Comments system

Disqus Shortname

Social Widget

  • Instagram
  • The Choice
  • Twitter

Facebook

Flickr Widget

Boxed Version (yes/no)

IMG Scroll Animation (yes/no)

Widget Recent Post No.

Widget Random Post No.

Widget Recent Comment No.

PageNavi Results No.

Social Media Icons

  • choice

Ola

  • Download New Music
  • New Video
  • Nunua Gari Hapa
  • Contacts
New Video

Bofya hii PICHA kudownload APPLICATION YA The Choice

Bofya hii PICHA kudownload APPLICATION YA The Choice

pin blw

google analytics

Random Posts

Most Recent

Social Media Icons 2

  • The Choice

Contact us

Name

Email *

Message *


Total Pageviews

.

.

.

.

Popular

  • ANGALIA PICHA...PREZOO ALIVYOPOKELEWA KENYA
  • KINACHOENDELEA KATI YA DIAMOND NA WEMA HUKO INSTAGRAM>>>FULL MAFUMBO NA TAARABU ZA KUFA MTU
  • KUHUSU MIMBA YA ZARI KUHARIBIKA
  • DIAMOND PLATINUMZ ANENA MAZITO KUHUSU WEMA, AJIAPIZA KIFO! WEMA NAYE AJIBU MAPIGO!
  • JAGUAR AKATAA KUMPIGIA KURA PREZOO
  • POLISI WAMKAMATA ALIYEMUUA BILIONEA ERASTO MSUYA...
  • ITAMBUE NDEGE YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
  • Cameroon's Eto'o given 15-game ban
  • Prof. Kitila Mkumbo Awarushia Dongo Mwalimu Nyerere Foundation, Adai Waache Kuchanganya Wananchi...Soma Hapa
  • BREAKING NEWS: LORI LA MIZIGO LAPATA AJALI ENEO LA NYOLOLO IRINGA NA KUSABABISHA FOLENI KALI MUDA HUU, ABIRIA WAAMUA KUCHIMBA NJIA YAO.

Blog Archive

My Website List

Recent

Comments

Simple theme. Powered by Blogger.