22 November 2014

KILICHOMFANYA AUNTY EZEKIEL KUANGUA KILIO MBELE YA WASANII WENZAKE

Msanii wa Filamu za Kibongo, Aunty Ezekiel hivi karibuni alijikuta akiangua kilio alipokuwa eneo la kuigiza ‘location’ pande za Kijichi jijini Dar baada ya kusumbuliwa na jino ambapo alishindwa kuvumilia maumivu.



Diva wa Filamu za Kibongo, Aunty Ezekiel.
Akizungumza  na Amani baada ya kupatiwa matibabu kwenye Hospitali ya Aviation, Aunty alisema kuwa  alijikuta uvumilivu unamshinda na kuangua kilio kwani kila alipojaribu kufanya kazi alishindwa.SOMA ZAIDI>>>

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname