Huyu simba wala hana noma na huyu jamaa
hapa wanapiga story... "Dah nanjaa kweli hapa" utazani simba huyo
alikuwa anamwambia jamaa tajiri
Hawa ni mapaka wakubwa sana wakiwa nyumbani kwa tajiri huyo hapa wanamla papa
Hebu Mcheki Cheater huyu akiwa anakula Good time na Bos wake wakiwa wanakula kipupwe huko baharini,,, Yataka moyo daha
Hilo sio toi ni Simba huyo
Hii michezoo hatareee dah wewe hapana chezea
Muda wa Kuoga sasa dah
Hug time
Picha na Daily mail ,,, Story na This Day magazine
No comments:
Post a Comment