The Choice

13 November 2014

BABY MADAHA SITUMII KINGA HATA SIKU MOJA

 Msanii wa Filamu na Muziki Bongo, Baby Madaha
BAADA ya hivi karibuni Msanii wa Filamu na Muziki Bongo, Baby Madaha kusema ameamua kuwapanga wanaume, hivi sasa ameibuka na jipya na kudai kwamba huwa hatumii kinga ‘kondom’ hata siku moja. 
Akipiga stori na paparazi wetu, Baby Madaha alisema kabla hajaanguka penzini na mwanaume lazima akapime kwanza Ukimwi na baada ya hapo ndipo mambo mengine yanaendelea hivyo akishahakikisha huyo mwanaume ni mzima huwa ahangaiki kutumia kinga. “Japokuwa nawapanga wanaume lakini
najali sana afya yangu yaani kila baada ya miezi mitatu huwa naenda kupima kabla sijaingia naye kwenye uhusiano, nikikuta yuko fresh tunaendelea na mapenzi yetu na huwa situmii kinga kwa sababu nakuwa nimeshajua afya yake.   Ikitokea amenizingua nampiga chini namchukua mwingine naenda kumpima hivyohivyo maisha yanasonga mbele,” alisema Baby Madaha.
Posted by Jason at 12:00
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Comments system

Disqus Shortname

Social Widget

  • Instagram
  • The Choice
  • Twitter

Facebook

Flickr Widget

Boxed Version (yes/no)

IMG Scroll Animation (yes/no)

Widget Recent Post No.

Widget Random Post No.

Widget Recent Comment No.

PageNavi Results No.

Social Media Icons

  • choice

Ola

  • Download New Music
  • New Video
  • Nunua Gari Hapa
  • Contacts
New Video

Bofya hii PICHA kudownload APPLICATION YA The Choice

Bofya hii PICHA kudownload APPLICATION YA The Choice

pin blw

google analytics

Random Posts

Most Recent

Social Media Icons 2

  • The Choice

Contact us

Name

Email *

Message *


Total Pageviews

.

.

.

.

Popular

  • DIAMOND PLATINUMZ ANENA MAZITO KUHUSU WEMA, AJIAPIZA KIFO! WEMA NAYE AJIBU MAPIGO!
  • JAGUAR AKATAA KUMPIGIA KURA PREZOO
  • POLISI WAMKAMATA ALIYEMUUA BILIONEA ERASTO MSUYA...
  • ANGALIA PICHA...PREZOO ALIVYOPOKELEWA KENYA
  • Mchungaji Mwingira wa Kanisa EFATHA Atakiwa Kupima DNA ni Baada ya Madai ya Kumpa Mke wa Mtu Mimba
  • Ofaa....Ofaaaaa......TENGENEZEWA BLOG KAMA HII www.thechoicetz.com KWA TSH.30,OOO TUU. Kwa mda wa masaa 3 inakuwa tayari. MAWASILIANO. call 0714 804739
  • MELI YA TANZANIA YENYE MADAWA YA KULEVYA YA THAMANI YA SH. BILIONI 123 YAKAMATWA, WAHUSIKA WAIPIGA MOTO KUONDOA USHAHIDI..!!!
  • WAFAHAMU WATANGAZAJI WENYE MKE ZAIDI YA MMOJA.
  • BREAKING NEWS : MSANII WA HIP HOP NCHINI LANGA KILEO AMEFARIKI DUNIA.
  • SIMU HIZI ZINAUZWA KWA BEI CHEE...CONTACT-0777305155

Blog Archive

My Website List

Recent

Comments

Simple theme. Powered by Blogger.