The Choice

13 November 2014

BABY MADAHA SITUMII KINGA HATA SIKU MOJA

 Msanii wa Filamu na Muziki Bongo, Baby Madaha
BAADA ya hivi karibuni Msanii wa Filamu na Muziki Bongo, Baby Madaha kusema ameamua kuwapanga wanaume, hivi sasa ameibuka na jipya na kudai kwamba huwa hatumii kinga ‘kondom’ hata siku moja. 
Akipiga stori na paparazi wetu, Baby Madaha alisema kabla hajaanguka penzini na mwanaume lazima akapime kwanza Ukimwi na baada ya hapo ndipo mambo mengine yanaendelea hivyo akishahakikisha huyo mwanaume ni mzima huwa ahangaiki kutumia kinga. “Japokuwa nawapanga wanaume lakini
najali sana afya yangu yaani kila baada ya miezi mitatu huwa naenda kupima kabla sijaingia naye kwenye uhusiano, nikikuta yuko fresh tunaendelea na mapenzi yetu na huwa situmii kinga kwa sababu nakuwa nimeshajua afya yake.   Ikitokea amenizingua nampiga chini namchukua mwingine naenda kumpima hivyohivyo maisha yanasonga mbele,” alisema Baby Madaha.
Posted by Jason at 12:00
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Comments system

Disqus Shortname

Social Widget

  • Instagram
  • The Choice
  • Twitter

Facebook

Flickr Widget

Boxed Version (yes/no)

IMG Scroll Animation (yes/no)

Widget Recent Post No.

Widget Random Post No.

Widget Recent Comment No.

PageNavi Results No.

Social Media Icons

  • choice

Ola

  • Download New Music
  • New Video
  • Nunua Gari Hapa
  • Contacts
New Video

Bofya hii PICHA kudownload APPLICATION YA The Choice

Bofya hii PICHA kudownload APPLICATION YA The Choice

pin blw

google analytics

Random Posts

Most Recent

Social Media Icons 2

  • The Choice

Contact us

Name

Email *

Message *


Total Pageviews

.

.

.

.

Popular

  • NEW MUSIC; "VAA TWENDE - BIGG BOSS
  • MAHARATA
  • DIAMOND AFUNGA MITAA YA TANDALE NA TUZO YAKE
  • HIVI NDIVYO BILIONEA MENGI NA MKEWE WANAVYOISHI KATIKA PEPO AMBAYO WENGI HAWAIJUI
  • BRAND NEW VIDEO Belle 9 Featuring Joh Makini - Vitamin Music Official Video
  • Rais Magufuli awahamisha watumishi wa afya katika jengo la muhimbili, ili kina mama wanao lala chini waweze kutumia jengo hilo
  • RAIS MAGUFULI AMFANYA KINGUNGE KUVUNJA AHADI YAKE...NAKUTOA KAULI HII
  • Picha: Je Nasib Abdul 'Diamond Platnumz' amelinunua gari hili aina ya Rolls Royce lenye thamani ya zaidi ya Tshs 367,080,000!
  • Breaking Newzzzzz.........ANGALIA PICHA Dr.ULIMBOKA ALIVYO UMIZWA BAADA YA KUTEKWA
  • DIAMOND ATUPIA MAPICHA YA ZARI AKIWA AMEJILAZA KITANDANI KATIKA MAPOZI TOFAUTI TOFAUTI

Blog Archive

My Website List

Recent

Comments

Simple theme. Powered by Blogger.