24 November 2014

BAADA YA DIAMOND KUTOA WIMBO MPYA...IRENE UWOYA AVUNJA UKIMYA WAKE JUU YA DIAMOND PLATINUMZ SOMA ZAIDI HAPA


Msanii wa filamu nchini Irene Uwoya amefunguka leo katika blog hii... na kusema kuwa yeye hajaachana na mumeo wa ndoa na wala msanii Diamond Platnum hajavunja ndoa yao kama ambavyo baadhi ya watu na vyombo vya habari walivyokuwa wakisema.Uwoya ameweka wazi suala hilo baada ya mashabiki wengi kutaka kujua kama ameachana na mumeo ndikumana na ndipo hapo amekanusha kuwa hajawahi kuwa na mahusiano na Diamond Platnum wala Msanii Msami Baby kama ambavyo watu wamekuwa wakijua ni wapenzi bali amesema kuwa yeye na msanii Msami ni marafiki wa karibu na sasa wanafanya filamu ya pamoja. 
Gasper Nataly :una mahusiano ya kimapenzi na Msanii Msami >>>Irene Uwoya: hapana Donlee Guck i love my sister,unachukuliaje skendo za wa sanii bongo?,kwanini uliamua kuachana na Mr Ndikumana>>>>>Irene Uwoya kawaida hatujaachana SINA BIFU NA JACKLINE WOLPERKuna wakati uvumi ulienea kuwa Irene Uwoya amekuwa na bifu na msanii mwenzake wa Filamu Jackline Wolper lakini leo kupitia Kikaangoni Live Irene Uwoya amekana kuwa na bifu na Wolper na kudai kuwa Jackline ni mtu wake wa karibu ambae amekuwa akimshirikisha katika mambo mbalimbali hali ambayo anamfanya ajione ni kama pacha wake kutokana na kuelewana na kushabiana katika mambo mbalimbali. Tuma Simba Ni kweli bifu lenu ww na jacline wolper limemaliza? 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname