13 August 2014

Rayuu Aomba RADHI Familia Yake Kwa Picha zake za Uchi Zilizo Sambaa Mitandaoni

Mwigizaji Maarufu Anayejulikana kwa jina la Rayuu Amejitokeza Baada ya kimya cha muda mrefu na kuiomba familia yake Radhi kwa Picha Chafu zilizosambaa mtandaoni.

Rayuu Kipindi cha nyuma amekuwa akivujisha picha zake mbali mbali za sehemu za mwili za kutatanisha ambazo sio nzuri kimaadili, Picha nyingi zake amekua akionyesha sehemu alizojichora Tattoo ambazo mpenzi wake pekee ndio angepaswa kuona

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname