20 September 2014

PICHAZ: BEYONCE AJIBU MAPIGO TUHUMA ZA KU-EDIT PICHA INAYOOONESHA MWILI WAKE!

Jana mashabiki walimshambulia Beyonce kwa picha aliyopost kwenye Tumblr ikiwa ni moja kati ya picha za kusherehekea siku yake ya kuzaliwa alizopiga mapema mwezi huu, ikimuonesha akishuka ngazi akiwa ndani ya vazi la ufukweni. Madai ya mashabiki hao yaliyowekwa kwenye mtandao wa TMZ pamoja na picha ni kwamba Beyonce alihariri sehemu iliyoonesha nafasi kati ya mapaja yake ili aonekane mwembamba zaidi. 

“Questionable thigh gap there, Bey. #photoshop #wonkystep #beyonce,”aliuliza shabiki mmoja

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname