MWANAMITINDO na mtangazaji mahiri Bongo, Jokate Mwegelo amezua utata baada ya kupiga picha akiwa ametinga suruali iliyochanika.
“Nimeamua tu kuwa tofauti maana hata
watu wengi walikuwa wakijiuliza kulikoni mimi kuvaa hivyo lakini mimi
nafikiri lazima kuna wakati tunatakiwa kuonekana tofauti na siyo mapambo
muda wote ukibadilika hata unachofanya unakuwa tofauti,” alisema
Jokate.
No comments:
Post a Comment