Davido Afunguka Juu Ya Kufanya Collabo na Rick Ross & Trey Songz, Asamoah Gyan pamoja na D’Prince.

Msanii Davido kutoka
kule Nchini Nigeria amefunguka juu ya habari zilizokuwa zikizagaa kwenye
mitandao mbalimbali ya habari nchini humo juu ya kufanya collabo na
wasanii kutoka marekani kama Rick Ross,Trey Songz,Asamoah Gyan pamoja na
msanii D’Prince na wengine wengi tizama video hii kuthibisha hilo
No comments:
Post a Comment