11 August 2014

TAZAMA PICHA ZAIDI YA 100 KILICHOJIRI SERENGETI FIESTA JANA AUG 09 JIJINI MWANZA

27fstMwanza umekua ndiyo mkoa wa kwanza kufungua shamra shamra hizi za Fiesta kwa mwaka 2014 ambapo on stage zaidi ya wasanii 15 walipata nafasi ya kushow love na wakazi wa Mwanza kwenye uwanja wa CCM Kirumba.
23fstInawezekana show hii ikaingia kwenye list ya miongoni mwa show zilizowahi kuhudhuriwa na wakazi wengi sana wa jiji hili la Mwanza kwa sababu nilipata taarifa kuwa ilipofika saa 5 tu usiku tiketi zote zilikuwa zimeisha.
7fstUkiachilia mbali wasanii waliokuwa wakitajwa kwenye matangaazo kulikuwa na SAPRAIZ nyingine kwenye jukwaa la Fiesta,Mwanza walimuona Jokate akiimba kwa mara ya kwanza kwenye jukwaa na kushangiliwa sana kutokana na alivyoifanya show hiyo.
9fstRatiba ya Serengeti fiesta baada ya Mwanza ni wakazi wa Bukoba na Kahama itakua zamu yao kuonja utamu wa Serengeti Fiesta na kwa miji hii miwili itakua ndiyo mara ya kwanza wanaiona,kwa Bukoba ni August 15 wakati Kahama ni August 17.

20fstHizi ni baadhi ya picha za usiku huu ulivyokuwa.
19fst
1fst
2fst
3fst
5fst
6fst
10fst
28fst
38fst

32fst
43fst

48fst

51fst

45fst
57fst
60fst

61fst
62fst
63fst
69fst
73fst
74fst
79fst
88fst
85fst
94fst
100fst
101fst
113fst
114fst
111fst
148fst
140fst
159fst
166fst

165fst

164fst

168fst

161fst
Add caption
162fst
163fst

172fst
169fst
170fst
173fst
175fst
179fst
182fst
186fst
190fst
192fst
180fst
174fst
178fst
204fst
212fst
219fst
218fst
223fst
234fst
241fst
245fst
246fst
243fst
253fst
255fst
258fst
259fst
262fst
311fst
306fst
309fst
304fst
316fst
320fst
317fst
323fst
330fst
339fst
346fst
361fst
411fst
409fst
408fst
404fst
367fst
356fst
355fst
352fst

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname