24 August 2014

Rihanna alipojikuta anatazama game ya Basketball ambayo Chris Brown alicheza (Full kununa)

Wapenzi wa zamani ambao wamekuwa wakijaribu kukwepana kwa muda mrefu huku huenda mioyoni mwao bado wanahitajiana Chris Brown na Rihanna, Alhamisi hii (August 21) walikutana (bila kupanga) kwenye mechi ya mpira wa kikapu ‘2014 Summer Classic Charity Basketball’ huko New York.

Riri alikaa viti vya mbele kabisa akitazama game ambayo ex wake alikuwa akicheza pia, sasa tazama jinsi Riri alivyonuna na kujaribu kukwepa kumtazama Chris kila alipokatiza karibu na alipokaa.



Riri alitangazwa hadi kwenye flyer kuwa atahudhuria kama mgeni maalum,lakini mwimbaji wa ‘New Flame’, Breezy alitokea kama surprise.

Hii ni wiki ambayo pia Karrueche na Chris Brown wamepatana baada ya kuachana kwa muda, na pia Rihanna na Drake wameonekana tena pamoja kwenye club ya usiku baada ya kuzinguana kwa muda pia.













No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname