17 August 2014

Irene Uwoya - ASEMA "SIPENDI KUVAA NGUO YA NDANI NA SINA KABISA KABATINI"



Mrembo na staa wa filamu nchini Irene Uwoya amesema kuwa hakuna vazi asilolipenda kulivaa kama chupi a.k.a kufuli. Irene amesema hayo alipokuwa akizungumza na
magazine  ya burudani ya VIBE.
Alipoulizwa na mwandishi wa jarida hilo kuwa ni nguo gani ni vigumu kuikuta kwenye kabati lake,  “Chupi – sipendi kabisa hilo vazi” Alisema Irene uwoya. Hatari sana hii.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname