17 August 2014

BAADA YA KUSEMEKANA AMEACHANA NA GARDNER..HATIMAYE JAYDEE AJIBU HIVI

..
Kama mnavyojua kwasiku mbili tatu hizi kumekuwa na taarifa mbalimbali kupitia blogu hizi za udau na hata SOSHO MEDIA kupitia AKAUNTI za wadaku…kuwa Komando Lady Jaydee ametengana na mumewe Gadner G Abash…SINA hakika kama ni kweli au LAA..japokuwa hakuna kati yao aliejitokeza kupiga hili!!!Lakini jana kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM Jide aliweka picha hii ikionyesha mkono wake na pete ya harusi yao na kuandika”Kucha zimekosa rangi ya OriFlame tu, ili zing'ae zaidi ya hapo”Wadau wengi ambao ni followers wake walimuelewaJide alikuwa anamaanisha nini.. kitu ambacho kilitafsiliwa kuwa ni kuonyesha kuwa wenyewe badoni wanadoa na hizo ni changamoto tu za ndoa kwahiyo watu wasishadadie sana …

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname