07 July 2014

UMESHAIONA SARAFU YA SHILINGI MIA TANO YA TANZANIA?KAMA BADO HII HAPA KUANZA KUTUMIKA KARIBUNI




Sarafu ya Shilingi Mia Tano ambayo Benki Kuu ya Tanzania inatarajia kuitoa hivi karibuni. Noti ya Mia Tano maarufu kama 'Jelo' itaendelea kutumika, ila itaondolewa taratibu katika mzunguko, kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki na Sarafu wa BoT, Bw Emmanuel Boaz, aliyeiambia Globu ya Jamii kwenye banda la Benki Kuu katika Maonesho ya SabaSaba jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname