WEMA APAGAWA NA TUZO 7 ZA DIAMOND,SOMA ALICHOKISEMA BAADA YA DIAMOND KUTWAA TUZO HIZO
Ila
msichana hivi sasa anandoto za kuwa kama WemaSepetu hivi sasa, kwa
kuweza kujivunia mafanikio ya mpenzi wake Diamond Platnumz, baada ya
kuandika historia katika Game hili la muziki wa Bongo Fleva, kwa
kuchukua tuzo zote katika kila kitengo alichokuwa anawania, baada ya
ishu nzima kuisha, haya ndio maneno ya Wema ya kwanza kuandika , Wema
Sepetu aliandika kupitia Account yake ya instagram;
“Yaani
mpaka hadi kuzipanga unashindwa unaanzaje kupanga… He managed to snatch
dem all…. My champion…. We hav an award for erday…. Monday to Sunday
baby…. Yaaaani #tikaTika….. Im a proud girl…. Sooooo proud… Salute to U
Champion…
No comments:
Post a Comment