08 May 2014

HAYA NDO MAAJABU YA LADY JAYDEE KUHUSU TUZO ZA KILI

Lady Jaydee alishinda tuzo mbili mwaka huu kwenye KTMA lakini kwasababu ambazo hajazisema,hakuwepo mwenyewe kuchukua tuzo hizo, shabiki yake akamuuliza kupitia twitter na Lady Jay Dee Akamjibu Kwani Zimeshafanyika? Akiwa na Maana Hajui kama Tuzo hizo zilishafanyika na Hajui kama Alishinda...

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname