DIAMOND ALIOMBA "KOLABO" NA BEYONCE NA HILI NDILO JIBU BABKUBWA ALILOPEWA..!!
Hii
Habari nimeisoma katika Gazeti moja Jana kuwa Diamond anahangaika
kuwasiliana na Beyonce ili wafanye Wimbo Pamoja , Inasemekana Diamond
alitafuta Number ya Beyonce kwa bahati nzuri akaipata na kumpigia simu
na kumweleza anachotaka ila Beyonce akamkatiza na Kumuuliza huna Manager
? na Kisha kukata simu .
kwani
Maswala ya Kazi Kwake lazima yapitie kwa Manager akiwa na Maana kuwa
Manager wa Diamond Awasiliane na Manager wa Beyonce ndio Waanzia hapo
kama kikieleweka poa , Mhh Goodluck Brother kama ni kweli na Ufuate
Protocol.
No comments:
Post a Comment