Penzi kati la waigizaji wawili maarufu
ndani ya bongo movie, Vicent Kigosi – Ray na Mwanadada Chuchu Hans
limekuwa sio siri tena baada ya hivi majuzi mwanadada Chuchu hans kuweka
picha mbalimbali za Vicent kigosi na yeye kwenye mtandao mmoja wa
kijamii huku akiandika “I love my babyface NO MATTER WHAT (TOO MUCH)”
akimaanisha kuwa anampenda sana mwigizaji huyo kwa hali yoyote ile na
anampenda sana.
Penzi hilo limekuwa la utata baada ya
kuleta mtafaruku hapo siku za awali baina ya waigizaji Johari na chuchu
Hans kudaiwa kuzitwanga wakimgombania muigizaji huyo.
Source:Bongo Movies
No comments:
Post a Comment