22 February 2014

MADAKTARI INDIA: MTOTO ALICHELEWESHWA

Hamis Hashim Liguya akiwa katika Hospitali ya Ganga,mjini Mombai India.
SIKU chache baada mtoto Hamis Hashim Liguya (13) aliyekuwa akisumbuliwa na tatizo la kuvimba miguu kuwasili nchini India, jopo la madaktari mjini Mombai, limesema mtoto huyo alicheleshwa kupewa matibabu kwani angewezekana kutibiwa mapema.
Jopo la madaktari wakiongea jambo.




Mtoto huyo aliwasili Uwanja wa Kimataifa wa Coimbatore hivi karibuni na haraka madaktari wa Hospitali ya Ganga, India walimpokea na kuanza kumpima vipimo vya awali kabla ya kumfanyia upasuaji.ANGALIA PICHA ZAIDI

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname