PHOTOS: RADO ANUNUA MKOKO MPYA.
Muigizaji maarufu wa filamu nchini Simon Mwapagata(Rado) amenunua gari
jipya aina ya Toyota Mark X anayodai imemgharimu pesa nyingi baada ya
gari lake la mwanzo kuharibika kwa ajali. Angalia picha za gari mpya la
Rado hapo chini kwa hisani ya Bongomovies.
No comments:
Post a Comment