Steve Konyagi
Mwaka 2010 kwenye mwezi wa 11 Steve Konyagi Mtanzania anayeishi mji wa
Lynn Massachesetts nchini Marekani alishitakiwa na Mtanzania mwenzake
(jina kapuni) kwamba amembaka demu wake Mmarekani wakati hua aalikua na
miaka 62 na kufikishwa mahakami na kuwa nje kwa dhamana.
Steve Konyagi alikuja Marekani mwezi wa 8 mwaka huo 2010 kabla hata
hajakaa sawa akakutana na
balaa hilo la kubaka ambalo kama utapatikana na kosa kifungo chake ni miaka 20 mpaka 40. Steve Konyagi Tanzania anatokea maeneo ya Sinza.
balaa hilo la kubaka ambalo kama utapatikana na kosa kifungo chake ni miaka 20 mpaka 40. Steve Konyagi Tanzania anatokea maeneo ya Sinza.
wakati Steve Konyagi alipokua akiendelea na kesi yake ya kubaka bibi
Mmarekani wa miaka 62 aliibuka dada mwingine Mtanzania (jina kapuni)
aliyewahiishi DMV miaka ya nyuma na kudai nae kabakwa na Steve Konyagi
hiyo ilikuwa mwaka 2011. Mahakama iliamua kuondoa dhamana kwa Steve
Konyagi na kuMsweka ndani kuanzia wakati huo huku ikiendelea kusikiliza
kesi hiyo iliyochukua takriban miaka mitatu.
Vijimambo baada ya kupata tetesi za Steve Konyagi kuwa huru ilinyanyua
simu na kumtwangia na yeye bila ajizi alinyanyua na kuanza kuelezea kisa
kizima. Vijimambo ilitakakufahamu kulikoni na Steve Konyagi akaanza kwa
kusema mwaka 2010 kwenye mwezi 8 aliwasili Marekani baada ya kushinda
Creen Card na alifikia kwa dada mmoja anayeitwa Adela ambaye yupo
Massachusetts miaka mingi.
Jumamosi moja ya mwezi wa 11, 2010 huyo Mtanzania aliyemshitaki walifika
nyumbani kwao akiambatana na demu wake huyo Bibi Mmarekani wa miaka 62
wakati huo sasa hivi huyo bibi atakua na miaka 65. Mara baada ya kufika
nyumbani kwao kama ilivyoada ya Steve Konyagi ni mtu wa mchupa sana na
baada ya kutembelewa na wageni walianza siku yao kwa kupiga mitungi
mpaka usiku mnene na demu wa mshikaji akawa amepagawa na Steve Konyagi
mdada akimtia majaribuni mshikaji wake. Baada ya mitungi kukolea Demu wa
mshikaji alishindwa kuvumilia alimtonya Steve kwamba kwake yeye
hajiwezi na Steve tangia aje Marekani alikua hajaona ndani alikua na
kinenge kikali pamoja na hivyo bado alishindwa kula uroda kwa demu wa
mshikaji lakini kilichotokea demu kulazimisha sana alichoambulia ni kula
pipi kijiti.
wakati huo mshikaji alikua amezidiwa kwa mchupa alipozinduka alihisi
swaiba wake amemtenda kitu mbaya na alipoanza kudodosa demu alijitetea
kwa kumsinginzia Steve kwamba amembaka ndipo mshikaji pamoja na kwamba
yule demu alikuwa mkubwa kiumri jamaa hakukubali alionelea yaishie
mahakamani.
Wakati kesi ikiendelea mahakani huku ikipigwa kalenda Steve Konyagi
akakutana na kisanga kingine cha kubaka mwaka uliofuata. Steve Konyagi
aliendelea kwa kusema Jumamosi moja ya mwaka 2011 wakati huo nishahama
kwa Adela nakaa na mshikaji wangu Mtanzania (jina kapuni) alikuja Demu
aliyewahi kuwa girl friend wa mshikaji wangu wakati huu akiwa na jamaa
mwingi. Huyu demu ni Mtanzania aliyewahiishi DMV miaka ya nyuma na
alizaa na watoto wawili na wanaume wawili tofauti. Kama uanvyojua
tulianza kupiga mitungi kama kawaida yangu ilipofika usiku mnene jamaa
yangu na huyo bibie waliamua kukumbushiwa penzi lao na mara wakaniacha
sebuleni na kuingia chumbani baada ya saa kadhaa yule demu alirudi
sebuleni na kunikuta mimi nikiendelea na mitungi na wakati huo alirudi
akiwa amejifunga taulo tu akiwa amesalua mpaka kineng'esti chake. Demu
alijiunga na club yangu ya mitungi na baada ya muda mchache wote
tulijikuta tumesinzia kwenye kochi baada ya kuzidiwa na ulabu.
Baada ya saa kazaa nilizinduka na kujikuta nipo na yule demu wakati huo
akiwa bado kalala na huku taulo alilojifunga likiwa limeanguka chini na
yeye akiwa kama alivyazaliwa. Baada ya kumuaona na hali ile nilijaribu
kumuamsha alipoamka na kujikuta na hali ilie alipiga kelele na kudai
nimembaka nilijaribu kujitetea lakini ilishindikana na wakaamua kuita
polisi na tangia siku hiyo dhamana yangu ikafutwa na mimi nikaswekwa
ndani huku kesi zote mbili kuchanganywa pamoja.
Hatima yangu niliiachia mahakama na wakili wangu kwa hiyo nilikaa ndani
mpaka January 13, 2014 nilipoachiwa huru na mahakama kwa kupatikana sina
hatia na kilichoniokoa ni DNA walipochukua vipimo vya DNA kwa yule demu
wa Kimarakani bibi wa miaka 65 hawakukuta chochote changu kuotoka kwake
na walipopima DNA kutoka kwa dada Mtanzania pia waliambulia patupu
lakini DNA ilimechi na yule mshikaji wangu aliyewahi kuwa Bwana wake
siku za nyuma ambayo siku hiyo ya tukio walivunja amri ya sita.
Kwa hiyo Bwana Vijimambo hiyo ndiyo mchapo wenyewe sasa hivi ni uraiani
kama kawaida nachoomba Watanzania wenzangu wawaogope mademu hao yasije
yakawakuta yaliyonikuta mimi.
credit : vijimambo blog
No comments:
Post a Comment