28 Jan 2014: Mpiga Tumba mahiri katika muziki wa dansi hapa nchini, Soud
Mohamed, ambaye pia alifahamika sana kwa jina la MCD, na aliyekuwa
bendi ya African Stars a.k.a Twanga Pepeta na baadae akahamia bendi ya
Mashujaa Band, amefariki Dunia usiku huu katika hospitali ya KCM mjini
Moshi, mkoani Kilimanjaro. Taarifa hizo zimethibitishwa rasmi na Msemaji
wa Bendi ya Twanga Pepeta, Hassani Rehani.
Tutazidi kupeana taarifa za msiba huu kwa kadiri zitakavyokuwa zikitufikia.
No comments:
Post a Comment