|
Pichani ni mwanamke huyo wa Kitanzania (akiwa amefunikwa uso)
aliyekamatwa na kilo 1.1 za heroin huko Macau. Hapo amepigwa picha na
vidonge vyake kwenye press conference huko Macau, Disemba 19, 2013.
|
Mwanamke
wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 28 amekamatwa na kilo 1.1 za dawa za
kulevya aina ya heroin huko Macao. Dawa hizo zilikutwa tumboni mwake
baada ya kushtukiwa na kufanyiwa X-ray ambapo alikutwa na jumla ya
vidonge 66 vyenye thamani ya dola za Kimarekani 137,720.
Mwanamke huyo alikuwa akisafiri kutoka Thailand akielekea Macao Jumanne
iliyopita. Aliwaambia polisi kuwa alikuwa anaelekea Guangzhou ambao ni
mji wa jimbo la Guangdong huko China.
|
Polisi wakichunguza vidonge ambavyo huyu mrembo alikuwa amevimeza. |
Ok kwa wale walokuwa wakilalamika 'habari nusu
nusu' huyo binti anaitwa Jackie Cliff. ..appeared in Diamondz Nataka
Kulewa. Was a runners up or something kwenye Miss Tz huko nyuma.
|
Waandishi wa habari wakipiga picha vidonge vya heroin alivyokamatwa navyo mremboi huyu wa Kitanzania. |
Chanzo cha habari: jamiiforum
No comments:
Post a Comment