“Mimi…nitoe rushwa ya ngono ili nitoke, mh…kwa kweli hiyo..." MSANII MENINA AFUNGUKA...SOMA ZAIDI HAPA....
|
Menina Atick |
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni Menina ambaye sasa anasumbua na
wimbo wake wa Shaghala Baghala alisema anachoamini ni kwamba msanii wa
kike mwenye kipaji hata asipotoa rushwa ya ngono, nafasi ya kung’ara
anayo, hivyo yeye atakuwa mfano kwa wengine.
“Mimi…nitoe rushwa ya ngono ili nitoke, mh…kwa kweli hiyo
haiwezekani, najiamini na sitakubali kuutumia mwili wangu kwa kugawa
penzi ili nisimame kwenye muziki, kwanza nitatembea na wangapi,” alihoji
msanii huyo.
No comments:
Post a Comment