06 November 2013

MTOTO WA MIAKA 5 AUWAWA KINYAMA NA KUNYOFOLEWA NYETI ZAKE HUKO MLANDIZI....INASIKITISHA SANA..!!


Mtoto Neema enzi za uhai wake.

Inauma sana! Mtoto Neema Nyamuhanga mwenye umri wa miaka mitano, mkazi wa Mlandizi, Pwani ameuawa kikatili na watu wasiojulikana kisha mwili wake kutelekezwa porini.
Mwili wa mtoto Neema uliokotwa na wachunga ng’ombe katika pori la Disunyara lililopo kilometa saba kutoka nyumbani kwa akina Neema, Mlandizi Novemba mosi, mwaka huu.
 Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, mwili huo ulikuwa umenyofolewa koromeo, meno yote ya chini na sehemu za siri huku nguo ya ndani ikiwa imewekwa pembeni.INAENDELEA

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname