15 November 2013

Mike Tyson akiri kutumia dawa za kulevya kwenye mapambano yake, alitumia u*me wa bandia ili kukwepa vipimo

Tyson ameanika ukweli huo kwenye kitabu chake ‘Undisputed Truth’ ambapo amesema alikuwa anatumia uume wa bandia kukwepa vipimo vya kuangalia kama ametumia madawa ya kulevya ambavyo vilikuwa vinachukuliwa kwa njia ya kupima haja ndogo.
“I had to use my whizzer, which was a fake pen*s where you put in someone’s clean urine to pass your drug test.” Ameandika Tyson.
Mike Tyson amefunguka jinsi alivyokuwa akiwachezesha wapimaji ambapo siku zote alikuwa anatumia uume wa bandia uliojazwa haja ndogo ya mtu mwingine katika timu yake, na kisha kuzuga kama anautoa mwenyewe hivyo vipimo vinakuwa fake.
Tyson amesema alikuwa anatumia dawa za kulevya aina ya Cocain na Marijuana mara kwa mara, na akakumbushia moja kati ya situation alizokuwa amevuta ni pale alipokuwa ameenda kwenye press conference na Lennox Lewis huko New York, mwaka 2002 ambapo alitaka kumvaa Lenox pale pale.
 “I lost my mind,” Tyson recalled. “I looked over at him and wanted to hit the motherf---er.” Yanasomeka maandishi ya Tyson

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname