06 November 2013

HATARII...Mhudumu wa Hospitali ya Sekourtore Mwanza akutwa na kiganja cha binadamu

Nipo hapa maeneo ya JIJI la Mwanza, nimekutana na polisi wakiwashikilia waganga wawili wa kienyeji na mhudumu wa Hospitali.

Nikambiwa wanashikiliwa hapa mkoani Mwanza kwa kukutwa na kiganja cha binadamu.

Note: mhudumu(Nurse) wa hapa hospital ya Sekourtore anashikiliwa kwa uchunguzi akidaiwa yeye pia anahusika katika kupanga dili na mara kwa mara amekuwa akijihusisha na kazi hiyo!



Picha za matukio nitawaletea ndani ya muda mfupi.

Kwa ufupi huwezi kumtenganisha msukuma na ushirikina hata siku moja. Hivyo wahalalishiwe hiyo fani yawezekana wamejaliwa na Mungu ila fursa ya kuendeleza fani yao hawajapata bado. 
source-jamiiforums

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname