Taarifa
zilizotufikia hivi punde ni kwamba Mwanamuziki wa Hip hop, Joseph Haul
'Profesa Jay' amepata ajali ya gari baada ya kuparamia kifusi akijaribu
kumkwepa
mtu eneo la Kimara-Baruti, jijini Dar wakati akitoka nyumbani kwake Mbezi! Prof hajaumia sana katika ajali hiyo japo gari lake limeharibika.
mtu eneo la Kimara-Baruti, jijini Dar wakati akitoka nyumbani kwake Mbezi! Prof hajaumia sana katika ajali hiyo japo gari lake limeharibika.
No comments:
Post a Comment