04 November 2013

BAADA YA NORA KUSEMEKANA KAPIGWA NA RAY C, SASA NORA AFUNGUKA NA KUZUNGUMZIA SWALA HILO





Baada ya habari nyingi sana kuzagaa kwenye mitandao kuwa mwanadada Ray C amegeuka bondia na kumpiga kwa knock-out kali mwanadada Norah, hatimaye kupitia mtandao mmoja maafufu wa kijamii tumeweza kupata video ikimuonesha mwanadada Norah akisema kuwa tukio hilo si la kweli na kwamba yeye na Ray C ni mashosti wa kufa mtu na kuwa habari hizo ni za uzushi tuu


No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname