ANGALIA PICHA ZAIDI WA 40 ZA KWENYE SHOY YA P SQUARE
Peter na Paul Okoye wa kundi la P-Square wakilivamia jukwaa la Leaders usiku huu.
Mashabiki wakipagawa na shoo ya P-Square.
Joh Makini akilitawala jukwaa.
Nikki wa Pili (kushoto) na G Nako wakifanya yao stejini.
Kundi la Weusi likiongozwa na Joh Makini likishambulia jukwaa la Leaders Club kabla P-Square hawajapanda usiku huu.
Mwanamuziki
Joseph Haule 'Profesa Jay' akiwapagawisha vilivyo mashabiki
waliohudhuria shoo ya P-Square Live in Dar ndani ya Viwanja vya Leaders
Club vilivyopo Kinondoni jijini Dar.
Nyomi baada ya kuikubali vilivyo shoo ya Profesa Jay.
Mwanamuziki
Judith Wambura 'Lady Jaydee' au 'Anaconda' akiwapagawisha mashabiki
wake waliohudhuria katika Viwanja vya Leaders Club usiku huu katika shoo
wa wakali P-Square.
Watu... Jideeeeeeeeeeee...
Machozi Band nao walikuwepo kumback up Jide.
Mwanamuziki Ben Pol akiwasha moto katika steji ndani ya Viwanja vya Leaders usiku huu katika shoo ya P-Square Live in Dar.
No comments:
Post a Comment